Sep 13, 2007

JE NI HALALI GARI LA SERIKALI KUKODISHWA?



Hivi karibuni Nilikuwa safarini Morogoro Ifakara wakatinimejipumzisha ,nikaliona Gari ambalo lilikuwa na namba za serikali STJ 1812 aina ya Isuzu Huku ubavuni likiwa na maandishi makubwa yanayosomeka hivi ''LINAKODISHWA'' nimejiuliza maswali mengi bila majibu lakini nikaona niwashirikishe wadau ili nanyi mtoe maoni yenu ili jamii ielewe ukweli ulipo.Mnakaribishwa

3 comments:

Simon Kitururu said...

Tatizo ni kwamba hata serikali yenyewe inakodishwa, hapo ndio kasheshe!

Anonymous said...

wewe vipi wewe ukifanya maskhara hata wewe utakodishwa.........heheeheee,
si halali ila ndo hivyo tena nchi YETU

Anonymous said...

tatizo magari yenyewe nayo yananukia ufisadi